عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The reality [Al-Haaqqa] - Swahili translation - Rowad Translation Center

Surah The reality [Al-Haaqqa] Ayah 52 Location Maccah Number 69

Nini hilo Tukio la haki?

Na nini kitakachokujulisha nini hilo Tukio la haki?

Akamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Mola akawakamata kwa mkamato uliozidi nguvu.

Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza.

Laiti mauti ndiyo yangelikuwa ya kunimaliza kabisa.

(Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!

Kwa hakika hii ni kauli iliyoletwa na Mjumbe mwenye heshima.

Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Bila ya shaka tungelimshika kwa mkono wa kulia.

Kisha kwa hakika tungelimkata mshipa mkubwa wa moyo!

Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanaokadhibisha.

Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.