عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The rising of the dead [Al-Qiyama] - Swahili translation - Rowad Translation Center

Surah The rising of the dead [Al-Qiyama] Ayah 40 Location Maccah Number 75

Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilizoko mbele yake.

Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.

La, hasha! (Roho) itakapofikia kwenye mafupa ya koo.

Na pakasemwa: Nani wa kumganga?

Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki.

Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!

Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.