عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The night [Al-Lail] - Swahili translation - Rowad Translation Center

Surah The night [Al-Lail] Ayah 21 Location Maccah Number 92

Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni mbali mbali.

Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake.

Basi nakuonyeni kutokana na Moto unaowaka vikali.

Anayekadhibisha na akageuka na kwenda zake.

Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliyemfanyia hisani ndiyo anamlipa.